Back to HomeKanuni 5 Zitakazobadilisha Maisha Yako — Ep. 3

Kanuni za Kibiblia za Mafanikio Ambazo Watu Wengi Huzipuuzia. CASFETA JOINTMASS BAGAMOYO

May 11, 2026418 views58:36

About This Message

Karibu katika ujumbe huu wenye mafundisho ya kina kuhusu kanuni za Kibiblia za mafanikio ambazo watu wengi huzipuuzia. Katika video hii tunajifunza kwamba mafanikio ya kweli hayawezi kujengwa juu ya juhudi pekee, bali juu ya msingi sahihi wa kiroho, tabia njema, na kusudi la Mungu kwa maisha yetu. Tutazungumzia: * Umuhimu wa kusudi katika maisha * Nguvu ya Neno la Mungu katika kujenga mafanikio * Tabia na uadilifu kama msingi wa ukuaji wa kudumu * Sacrifice na kujitoa kwa ajili ya maono * Bidi

By Patrick Seuya · Published May 11, 2026

kanunimafanikiobibliamaisha

More from Kanuni 5 Zitakazobadilisha Maisha Yako

View full series