About This Message
Katika ujumbe huu wenye nguvu, Patrick Seuya anaongelea kitu ambacho wengi wetu tunapitia bila hata kugundua — kupoteza uwezo wa kuwa present na kupungua kwa attention span, hasa kutokana na matumizi ya social media. Kutoka kwenye distractions za kila siku hadi athari zake kwenye maisha ya kiroho, ujumbe huu unakuchallenge ujiulize: *Unasikiliza kweli? Au una-scan tu?* Anatoa mfano wa jinsi watu walivyokuwa wakimsikiliza Yesu kwa muda mrefu bila kuchoka, na kulinganisha na hali ya sasa ambapo
By Patrick Seuya · Published April 20, 2026




