About This Message
Katika dunia ya leo, uhusiano wa kweli hauji kwa bahati—unahitaji makusudi. Katika kipindi hiki cha podcast, Patrick Seuya anazungumzia maana ya “Connection Requires Intentionality”—kwamba kuwa karibu na Mungu peke yake haitoshi; kile kinachobadilisha maisha ni uhusiano wa makusudi unaojengwa kwa nia, umakini na kujitoa. Utajifunza: • Kwa nini uwepo pekee hautoshi bila connection • Jinsi ya kujenga mahusiano na Mungu yenye maana na ya kudumu. • Hatua za vitendo za kuwa na uhusiano ulio hai
By Patrick Seuya · Published April 10, 2026




