Back to HomeGrowing Up Spiritually — Ep. 4

Growing Up Spiritually Ep.4

April 10, 2026400 views15:33

About This Message

Katika dunia ya leo, uhusiano wa kweli hauji kwa bahati—unahitaji makusudi. Katika kipindi hiki cha podcast, Patrick Seuya anazungumzia maana ya “Connection Requires Intentionality”—kwamba kuwa karibu na Mungu peke yake haitoshi; kile kinachobadilisha maisha ni uhusiano wa makusudi unaojengwa kwa nia, umakini na kujitoa. Utajifunza: • Kwa nini uwepo pekee hautoshi bila connection • Jinsi ya kujenga mahusiano na Mungu yenye maana na ya kudumu. • Hatua za vitendo za kuwa na uhusiano ulio hai

By Patrick Seuya · Published April 10, 2026

connectionintentionalityfaithspirituality

More from Growing Up Spiritually

View full series
Growing Up Spiritually Ep. 126:41

Growing Up Spiritually Ep. 1

The first episode of Growing Up Spiritually examines spiritual maturity through biblical examples. Patrick highlights how our priorities and daily decisions shape our spiritual development, drawing from key Scriptures to illustrate the journey from spiritual infancy to maturity.

March 16, 2026493 views
Growing Up Spiritually Ep. 219:15

Growing Up Spiritually Ep. 2

Episode 2 addresses the importance of stillness for spiritual growth amid life's noise and stress. In a culture of constant busyness, Patrick teaches how to cultivate inner quiet — the soil in which deep spiritual roots grow.

March 23, 2026375 views
Growing Up Spiritually Ep. 325:50

Growing Up Spiritually Ep. 3

"Presence Isn't Enough" — contrasting Martha and Mary, Patrick emphasizes that connection with Jesus matters more than mere attendance. It's not enough to be in the room; you must be engaged with the One who is speaking.

March 30, 2026215 views
Growing Up Spiritually Ep. 515:54

Growing Up Spiritually Ep. 5

Katika ujumbe huu wenye nguvu, Patrick Seuya anaongelea kitu ambacho wengi wetu tunapitia bila hata kugundua — kupoteza uwezo wa kuwa present na kupungua kwa attention span, hasa kutokana na matumizi ya social media. Kutoka kwenye distractions za kila siku hadi athari zake kwenye maisha ya kiroho, ujumbe huu unakuchallenge ujiulize: *Unasikiliza kweli? Au una-scan tu?* Anatoa mfano wa jinsi watu walivyokuwa wakimsikiliza Yesu kwa muda mrefu bila kuchoka, na kulinganisha na hali ya sasa ambapo

April 20, 2026345 views
Growing Up Spiritually EP0627:55

Growing Up Spiritually EP06

Kazi kubwa zaidi unayohitaji kufanya ili uweze kuwa na muda wa utulivu na Mungu iko ndani ya nafsi yako. Nafsi ikinyamaza na kutulia, inatoa nafasi kwa roho yako kumsikia Mungu kwa kina na kutafakari Neno lake. Mtunga Zaburi anasema: “Hakika nimeituliza nafsi yangu na kuinyamazisha, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya alivyo kwa mama yake; nafsi yangu ndani yangu ni kama mtoto aliyeachishwa kunyonya.” — Zaburi 131:2 (SUV) Hii ni picha yenye nguvu ya utulivu wa ndani—sio tu ukimya wa nje, bali na

May 4, 2026520 views